![]() |
Donald Trump |
TRUMP ameuambia mkutano wa kitaifa wa chama cha Rebuplican kwamba anajivunia kuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi wa urais mwezi Novemba mwaka huu na atashinda kura hiyo ili kuleta mabadiliko halisi kwa Washington.
Naye Spika wa bunge la wawakilishi, PAUL RYAN ameomba wajumbe kwenye kikao hicho kumuunga mkono TRUMP akieleza kuwa kutakuwa na uhakika wa ushindi iwapo tu wanachama wote wa Republican watashirikiana.
Chanzo BBC.
No comments:
Post a Comment